The Search
Honey (Wimbo wa Mariah Carey)
"Honey" ni wimbo ulioandaliwa na kutungwa na mwimbaji wa Marekani Mariah Carey kwa kushirikiana na Puff Daddy, Stevie J na Q-Tip The Ummah"), na ulirekodiwa kwa ajili ya albamu ya saba ya Carey iliyoitwa Butterfly iliyotoka mwaka 1997. Wimbo huu ulitoka kama single ya kwanza katika albamu hii na kufanikiwa kushika nafasi ya kwanza nchini Marekani
Wikipedia · CC BY-SA
honey — honey
dictionary.aplusz.app